Rais Jakaya Kikwete (kushoto), akimkabidhi Mkurugenzi wa Rasilimali Watu wa
Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),Kenneth Wanyoto cheti baada y kuwa mmoja wa
wafadhiri wa hafla ya kuwazawadia waajiri Bora wa Mwaka 2012 katika hafla iliyofanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City,
Dar es Salaam.Kushoto ni Mwenyekiti wa ATE, Almas Maige
Mkurugenzi wa
Rasilimali Watu wa Kampuni ya Bia
Tanzania (TBL),Kenneth Wanyoto akishangilia baada ya Rais Jakaya Kikwete kumkabidhi
tuzo ya ushindi wa tatu ya Mwajiri Bora wa Mwaka 2012 katika hafla
iliyofanyika kwenye ukumbi wa
Mlimani City, Dar es Salaam.
Rais Jakaya Kikwete (kushoto), akimkabidhi Mkurugenzi
wa Rasilimali Watu wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),Kenneth
Wanyoto cheti baada y kuwa mmoja wa wafadhiri wa hafla ya kuwazawadia waajiri
Bora wa Mwaka 2012 katika hafla
iliyofanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.Kushoto ni
Mwenyekiti wa ATE, Almas Maige
Wanyoto akipita na tuzo mbele ya Rais Kikwete pamoja na
Mwenyekiti wa ATE, Almas Maige
No comments:
Post a Comment