Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Bw. Absolom Kibanda
akimkabidhi maoni ya Jukwaa hilo kuhusu katiba Mpya Mjumbe wa Tume ya
Mabadiliko ya Katiba Prof. Mwesiga Baregu katika ofisi za Tume jijini
Dar es Salaam leo
Mwanachama wa Jukwaa la Wahariri (TEF) Bw. Deodatus
Balile akiwasilisha maoni ya Jukwaa hilo kuhusu Katiba Mpya katika
mkutano uliofanyika katika ofisi za Tume jijini Dar es Salaam leo. Wengine ni Bw. Ruge Mutahaba (kushoto)
kutoka Clouds Media Group na Bw. Yasin Sadik kutoka gazeti la Hoja.
Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT)
Bw. Kajubi Mukajanga akiwasilisha maoni ya Baraza hilo kuhusu Katiba
Mpya katika mkutano uliofanyika katika ofisi za Tume jijini Dar es
Salaam leo. Kulia ni Bi. Pili
Mtambalike kutoka MCT.
No comments:
Post a Comment